J jason baby Member Joined May 28, 2014 Posts 17 Reaction score 7 Aug 5, 2014 #1 habari wanajamvi ,kwa wale waliofanya interview TBS kuna anayefahamu majibu yatatoka baada ya muda gani? natanguliza shukrani...
habari wanajamvi ,kwa wale waliofanya interview TBS kuna anayefahamu majibu yatatoka baada ya muda gani? natanguliza shukrani...
Ngowi Junior Senior Member Joined Aug 4, 2014 Posts 102 Reaction score 38 Aug 5, 2014 #2 ata mm nahtaj kujua asee
S svoca JF-Expert Member Joined Jun 6, 2014 Posts 373 Reaction score 70 Aug 5, 2014 #3 Tulieni mambo yakiwa tayari wenyewe mtayaona bila hata kuambiwa na mtu.
Y yewomi Member Joined Jul 20, 2012 Posts 78 Reaction score 27 Aug 6, 2014 #4 Mbona hawa tbs wapo kimya hadi leo mwenye taarfa atujuze tafadhal
concrete15 JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 882 Reaction score 323 Aug 6, 2014 #5 Walisema baada ya week mbili ila kueni avumilivu kwani hata kuitwa kwa paper mlikaa mienzi minne kama sio mitatu.
Walisema baada ya week mbili ila kueni avumilivu kwani hata kuitwa kwa paper mlikaa mienzi minne kama sio mitatu.
concrete15 JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 882 Reaction score 323 Aug 6, 2014 #6 yewomi said: Mbona hawa tbs wapo kimya hadi leo mwenye taarfa atujuze tafadhal Click to expand... ulisubiria muda gani kuitwa kwenye paper mwana. Tuliza kihoro bana
yewomi said: Mbona hawa tbs wapo kimya hadi leo mwenye taarfa atujuze tafadhal Click to expand... ulisubiria muda gani kuitwa kwenye paper mwana. Tuliza kihoro bana
Y yewomi Member Joined Jul 20, 2012 Posts 78 Reaction score 27 Aug 7, 2014 #7 concrete15 said: ulisubiria muda gani kuitwa kwenye paper mwana. Tuliza kihoro bana Click to expand... Wat 2mechoka kukaa nyumbani ndo mana ha2choki kuuliza
concrete15 said: ulisubiria muda gani kuitwa kwenye paper mwana. Tuliza kihoro bana Click to expand... Wat 2mechoka kukaa nyumbani ndo mana ha2choki kuuliza
concrete15 JF-Expert Member Joined Oct 16, 2012 Posts 882 Reaction score 323 Aug 8, 2014 #8 Kuwa mpole kijana mambo yanaenda taratibu endele kutupia na sehemu zingine si umeona na polisi nao wametoa
Kuwa mpole kijana mambo yanaenda taratibu endele kutupia na sehemu zingine si umeona na polisi nao wametoa
Y yewomi Member Joined Jul 20, 2012 Posts 78 Reaction score 27 Aug 20, 2014 #9 concrete15 said: Kuwa mpole kijana mambo yanaenda taratibu endele kutupia na sehemu zingine si umeona na polisi nao wametoa Click to expand... Mwenye taarifa kuhusu tbs atujuze
concrete15 said: Kuwa mpole kijana mambo yanaenda taratibu endele kutupia na sehemu zingine si umeona na polisi nao wametoa Click to expand... Mwenye taarifa kuhusu tbs atujuze
Kurzweil JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 6,623 Reaction score 8,426 Aug 20, 2014 #10 bado tunapitia karatasi zenu
Perry JF-Expert Member Joined Feb 24, 2011 Posts 10,082 Reaction score 2,354 Aug 20, 2014 #11 Tutawaita muda ukifika.
Mitomingi8s Senior Member Joined Jan 17, 2011 Posts 132 Reaction score 39 Aug 20, 2014 #13 kwahiyo mnategemea kutoa hayo motokeo lini vile Ipycalypse
Kurzweil JF-Expert Member Joined May 25, 2011 Posts 6,623 Reaction score 8,426 Aug 20, 2014 #14 Mitomingi8s said: kwahiyo mnategemea kutoa hayo motokeo lini vile Ipycalypse Click to expand... Kuweni wapole
Mitomingi8s said: kwahiyo mnategemea kutoa hayo motokeo lini vile Ipycalypse Click to expand... Kuweni wapole
G gerrald JF-Expert Member Joined May 4, 2014 Posts 269 Reaction score 270 Aug 20, 2014 #15 tumesubiri sana.daah