nami niliwaza hivyo maana vyuo vingi vinaanza kupokea first year tarehe 23 mwezi huu na mara nyingi Board huwa inatoa majibu kabla ya tarehe ya vyuo kuanza kupokea wanafunzi
nami niliwaza hivyo maana vyuo vingi vinaanza kupokea first year tarehe 23 mwezi huu na mara nyingi Board huwa inatoa majibu kabla ya tarehe ya vyuo kuanza kupokea wanafunzi
Haina matumaini sana coz kila aliyeapply akakamilisha inamuonesha hivo, inaonyesha documents ziko verified so subiri kama utapata or not kulingana na taarifa ulizojaza
Haina matumaini sana coz kila aliyeapply akakamilisha inamuonesha hivo, inaonyesha documents ziko verified so subiri kama utapata or not kulingana na taarifa ulizojaza