Update za Mgomo wa Madereva nchini

Update za Mgomo wa Madereva nchini

Mapengo 17

R I P
Joined
Mar 28, 2014
Posts
1,228
Reaction score
618
Wakuu,

Nimepata taarifa kuwa mgomo wa Madereva wa mabasi ya abiria yanayofanya safari za kqenda mikoani umeanzia Jijini Dar es Salaam leo Agosti 9,2015 kama walivyotoa taarifa kuwa watagoma kama mahitaji yao hayatatekelezwa.

Nimeanzisha uzi huu ili tupeane update za maeneo mengine kuwa hali ikoje.

Asante.
 
Hawawezi tena kugoma njaa mbaya kaka.. kama vipi Anza wewe kugoma kazini kwako.. uone aibu yako
 
Lowasa oyeeeeeeeeeee! Hatuwezi????? -Tunawezaaaaaaaaa! Hakiiiiiiiiiiii- Sawaaaaaa! Haki sawa kwa nani????? - Kwa woteeeeeeee! asiyependa hakiiiii - akafie mbali. CCMMMMMM???? nyang'a nyang'a, mbende mbede, kifo cha mendeeeee!! Peopleeeeeeessss!!!! Poweeeeeer. Motomotomoto moto!!!!! mwotooooo! unguza CCM. NCCR- Mageuzi daimaaaaaa! UKAWA Tumaini letu!
 
Back
Top Bottom