Upatikanaji wa Kazi

Upatikanaji wa Kazi

Tobido

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2010
Posts
331
Reaction score
76
Habari wadau!

Rafiki yangu yupo dissapointed sana anasema amepata GPA ya 3.4 kamaliza Compute Science degree anauliza kama anaweza kupata kazi kwa hizo grade maana anasema amesikia kwa watu kwamba bila Upper second kazi hapati.

Ushauri wenu muhimu wakuu.
 
Kwenye kazi GPA hazimati hata kidogo we sema una degree basi
 
Kazi unamjua nani ndo inajalisha! Watu walikuwa na GPA za 1.8 na kazi walipata itakuwa hio ya 3.4.

LABDA HAPATI AUDITING FIRMS!
 
Kuna jamaa alipata 3.6 economics sijui kama ameshapata kazi au la..hivi mtu unasoma computer science halafu unaanza kuhangaikia kazi..daaah kweli watu wengine aisee taaaluma yako hiyo hiyo nia ajira tosha..!!
 
Back
Top Bottom