MIMI nilikuwa wanafunzi katika chuo cha uhasibu nimemeliza mwaka mmoja uliopita,chuo hiki nichaajabu kwani academic certificate huchua miaka 2,kuipata vyuo vingine ni baada ya graduatuion tu hupewa vyeti vyao,tunashangaa TIA tunasikia vyeti vyao hutenengenezwa south africa,transcript yenyewe kuipata kwa mbinde.tunaomba waziri wa fedha Mkulo akiangalie chuo hiki,naukiritimba huu umelelewa na principal aliyestaafu ndugu Buchanagandi na watu wake waliokaa chuoni hapo toka mwaka 1980,hawana mawazo mapya na tunaomba waziri amteue principal ambaye ni makini awe na PHD asiwe mmojawapo wa wazee wa hapo TIA kama MBAGO,HANZURUNI GORA,BOMA ETC