Acha kulalamika wewe,fanya kazi ujipatie riziki,peleka watoto wako shule wapate elimu waje wajitegemee na wakusaidie,acha kabisa kukaa kijiweni kupiga soga.tumia muda wako kujiingizia kipato,buni jambo la kufanya..........au unategemea uletewe hapo kitandani?
mimi sina ninayemfaham serikalini lakini nilipeleka maombi/application,nikafanya interview,nikapata kazi tena mi ni mtoto wa mkulima kwa hiyo tusidanganyane apa.............