Simba SC inazidi kupotea midomoni mwa washabiki na wadau wa soka hapa nchini, Umefika wakati wa Aveva na benchi lake wajitafakari na kuchukua hatua stahiki!
utashangaa na ubovu wote huo YANGA wanahangaika kurudisha 5-0 mpaka leo.. Manji pamoja na kumwaga pesa zote lakini anapokutana na mnyama lazima akae!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.