Papaa mukulu don
Member
- Sep 20, 2018
- 21
- 4
Habari
kama heading ilivo hapo kumekuwa na sintofahamu kadhaa kwa wanafunzi wa udom kuhusu
michango kupanda kila siku,
Hostels za chuo kuwa na vyoo vibovu,
maji kukatika kwa mda mrefu,
Gharama za direct cost kupanda bila sababu maalumu, na mengine mengi
lakn hii sasa ndo kubwa kuliko yaan UONGOZI WA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) kimezuia matokeo kwa wanafunzi wote wanaodaiwa ada. sipingi hilo lakn naona wamefanya maamuz ya ghafla mno kwa sababu kuna watu wao huwa wanalipiwa ada na BODI YA MIKOPO lakn nao matokeo yao yamezuiliwa.
nina mdogo angu kamaliza hapo udom mwaka huu yy wamezuia matokeo yake kwa sabab bodi ya mikopo haikumlipia ada ya mwaka wa kwanza., kaenda bodi kaambiwa kwamba CHUO HAKIKUKUOMBEA ADA. akirudi chuon nao hawana majibu ya kueleweka.....na alipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa akienda kwa uongoz wa chuo kuripoti kwamba haoni jna lake kwny sheet za ada, wanamrudisha kwa viongoz wa wanafunz(mawaziri) hvyo ikawa ni kurushiana mpira SASA KWA NN CHUO KINAZUIA MATOKEO WAKAT KOSA SIO LA MWANAFUNZI?
Na ikumbukwe kwamba dogo kazuiliwa matokeo na mitihan ya sap inaanza mwez huu sasa mtu hajui kama ana sap au lah yan yuko njiapanda,haya ikitokea ana sap na hajaifanya (kwa sababu hajui matokeo yake) basi ndo anakuwa kadisco..
Tafadhalini jaman kama kuna kiongoz yyte mwenye mamlaka hapa naomba alishughulikie hl jambo , pia UDOM kuna uozo mwingi unafanyika chn kwa chini tfadhali viongozi hebu fanyen hata ziara ya kushtukiza mtajua mengi.
Mwalimu majaliwa kassim majaliwa
ndalichako Mb
kama heading ilivo hapo kumekuwa na sintofahamu kadhaa kwa wanafunzi wa udom kuhusu
michango kupanda kila siku,
Hostels za chuo kuwa na vyoo vibovu,
maji kukatika kwa mda mrefu,
Gharama za direct cost kupanda bila sababu maalumu, na mengine mengi
lakn hii sasa ndo kubwa kuliko yaan UONGOZI WA CHUO KIKUU DODOMA (UDOM) kimezuia matokeo kwa wanafunzi wote wanaodaiwa ada. sipingi hilo lakn naona wamefanya maamuz ya ghafla mno kwa sababu kuna watu wao huwa wanalipiwa ada na BODI YA MIKOPO lakn nao matokeo yao yamezuiliwa.
nina mdogo angu kamaliza hapo udom mwaka huu yy wamezuia matokeo yake kwa sabab bodi ya mikopo haikumlipia ada ya mwaka wa kwanza., kaenda bodi kaambiwa kwamba CHUO HAKIKUKUOMBEA ADA. akirudi chuon nao hawana majibu ya kueleweka.....na alipokuwa mwaka wa kwanza alikuwa akienda kwa uongoz wa chuo kuripoti kwamba haoni jna lake kwny sheet za ada, wanamrudisha kwa viongoz wa wanafunz(mawaziri) hvyo ikawa ni kurushiana mpira SASA KWA NN CHUO KINAZUIA MATOKEO WAKAT KOSA SIO LA MWANAFUNZI?
Na ikumbukwe kwamba dogo kazuiliwa matokeo na mitihan ya sap inaanza mwez huu sasa mtu hajui kama ana sap au lah yan yuko njiapanda,haya ikitokea ana sap na hajaifanya (kwa sababu hajui matokeo yake) basi ndo anakuwa kadisco..
Tafadhalini jaman kama kuna kiongoz yyte mwenye mamlaka hapa naomba alishughulikie hl jambo , pia UDOM kuna uozo mwingi unafanyika chn kwa chini tfadhali viongozi hebu fanyen hata ziara ya kushtukiza mtajua mengi.
Mwalimu majaliwa kassim majaliwa
ndalichako Mb