AFRIMA kwa kirefu ni All Africa Music Awards na ufanyika na zitafanyika Nigeria kwa kipindi cha hii miaka (2014-2016) amabapo kila msanii wa africa ana haki ya kutuma nyimbo zke amabapo baada hapo kuna academy inakaa chini na kupitisha nyimbo amabapo baada hapo wanatoa nomination na washindi unapatikana kuptia asilimia 50 za kura ana 50 za judges, na nomination zingine ushindi unapatikana kwa kura za mashabiki tu lakini cha ajabu na kusikitisha na kuona Mr Coming soon Ali kiba kuwadanganya afrima kuwa ametoa album inaitwa mwana, na ndani kuna nyimbo kama cinderela, macmuga, sabrina, tusiwatese yatima, dushelele na zingine wakati izi nyimbo ni za album ya cinderela.
Utaelewa tu, jiandae kisaikolojia week hii nomination za tuzo 2 za kimataifa zinatoka tena, kiba naye yumo hahahhaha
Nomination hata khadija kopa kapata za kimataifa mbona peter mschesu alipata nomination kabla ya kiba hadi Ben Paul alipata haaaah nyie mnatoa km breaking news
Huu ni ukweli mchungu
Nomination hata khadija kopa kapata za kimataifa mbona peter mschesu alipata nomination kabla ya kiba hadi Ben Paul alipata haaaah nyie mnatoa km breaking news
AFRIMA kwa kirefu ni All Africa Music Awards na ufanyika na zitafanyika Nigeria kwa kipindi cha hii miaka (2014-2016) amabapo kila msanii wa africa ana haki ya kutuma nyimbo zke amabapo baada hapo kuna academy inakaa chini na kupitisha nyimbo amabapo baada hapo wanatoa nomination na washindi unapatikana kuptia asilimia 50 za kura ana 50 za judges, na nomination zingine ushindi unapatikana kwa kura za mashabiki tu lakini cha ajabu na kusikitisha na kuona Mr Coming soon Ali kiba kuwadanganya afrima kuwa ametoa album inaitwa mwana, na ndani kuna nyimbo kama cinderela, macmuga, sabrina, tusiwatese yatima, dushelele na zingine wakati izi nyimbo ni za album ya cinderela.