Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.
Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.
View attachment 2758355
Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.
Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.
View attachment 2758356
Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.
Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.
Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.
Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.
Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).
View attachment 2758357
Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.
Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.
Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.
Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
kapewa hadi ajira siku izi namuona anafanya kazi TAWA na manyota nyota yake bado anakula hela za serikali, ni mkubwa huko TAWA nawaza sijui aliongiaje wakati serikalini ajira mwisho miaka 45, bado anakula mema ya nchi sasa analilia miradhi za nn wakati mshahara wake zaidi ya milion tatuHuyu vick Kamata aliwahi kupewa ubunge enzi ya mkwere ; hivi bado ni mbunge?
Nilifikir utatoa ushahidi wa ndoa Yao kumbe Umeandika hadithi tu.Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.
Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.
View attachment 2758355
Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.
Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.
View attachment 2758356
Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.
Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.
Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.
Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.
Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).
View attachment 2758357
Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.
Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.
Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.
Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.
Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.
View attachment 2758355
Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.
Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.
View attachment 2758356
Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.
Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.
Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.
Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.
Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).
View attachment 2758357
Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.
Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.
Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.
Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
For Gods sake, kwani huyo kamata,Hana Mali zake?Mali, za, marehemu, zibaki kwa watoto wake tu, hata kama wapo wa nje ya ndoa, hii kuruhusu hawa gold diggers walithi Mali, sio sawa kabisa,Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.
Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.
View attachment 2758355
Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.
Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.
View attachment 2758356
Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.
Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.
Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.
Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.
Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).
View attachment 2758357
Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.
Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.
Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.
Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Vicky aliolewa kabla mke wa jamaa hajafariki. Kisheria ndoa ya vicky ni batili maana ile ya kwanza haikuwa imevunjika.Wa kwanza si amekufa?
Vicky ameishi na mzee hadi umauti, wampe tu cha kufutia machozi
Mkuu unamaanisha IGA ya bandari?Endapo hakutaka kumpa talaka mke wa kwanza, basi kifo kilipompata 2020 ndipo angemwoa Vicky. Ndivyo zilivyo kisheria ndoa za kikristo za mke mmoja tu.
Makosa ya Vicky naye, pengine kwa kutokujua, ni kutomdai Dkt Likwelile cheti cha talaka cha mke wa kwanza kabla ya kuoana naye 2016. Kwa umbumbumbu huo wa wasomi wetu katika masuala madogo ya kisheria, inatia shaka endapo wanamudu masuala makubwa ya kisheria kimataifa ikiwemo mikataba yenye maslahi kwa taifa.
Usitumie nguvu kubwa sana kwa issue inayohusu ndoa. Hivi karibuni mwalimu wangu wa law of evidence amekuwa akitupitisha kwa uchache kuhusu sheria ya ndoa. Ina mambo mazito.Kuna jambo moja sijui iwapo watu wengi wanalijua.
Binafsi tulifahamiana na Dr. Servacius Likwelile (RIP) mwanzoni kabisa mwa 1990's (ninadhani 1991) wakati akifundisha Industrial Economics UDSM, akiwa na Masters na akisoma PhD.
View attachment 2758355
Kuna wakati, mwishoni mwa 1990's, Dr. Likwelile alifulia, mke wake wa ndoa aka-riot, hata Dr. Likwelile alihama nyumbani na kuja kupanga makazi maeneo ya Riverside, Ubungo, akiwa analewa sana pale Riverside Bar maarufu ya Bwana Mrema.
Ilifika wakati kwa tuliofahamiana naye, ukifika pale unam-bypass asikuone maana yeye pamoja na Prof. mmoja wa history miaka hiyo pale UDSM walikuwa wanalewa sana, wakizungukwa na ma-barmaids mpaka wanakera.
View attachment 2758356
Maisha ya Dr. Likwelile yalianza kubadilika tena miaka ya mwanzo ya 2000 (2002/3?) alipoteuliwa kuwa CEO wa TASAF.
Ninakumbuka jioni moja nilipokutana naye pale Riverside Bar akanipatia business card yake kuashiria amepata kazi mpya TASAF huku akinisihi nikimtembelea huko ofisi mpya, niwe 'makini' - alikuwa ameanza mkakati wa kufuta historia.
Mwaka 2004 tulikutana tena na Dr. Likwelile Harare, Zimbabwe alipoalikuwa amealikwa kwenye regional workshop iliyoandaliwa na Mtandao wa AFRODAD ambapo mimi nilikuwa ninawasilisha report ya utafiti kuhusu deni la taifa (Tanzania) nikiwa Tanzania country researcher wa Afrodad.
Ninakumbuka kuna wakati Dr. Likwelile aliniambia watoto wao walikuwa wanasoma Malawi na concern yake ilikuwa watoto hao kudhuriwa na ugomvi kati yake na mkewe, ambaye baadaye alikuja kufariki.
Dr. Likwelile baadaye alikuja kuteuliwa Naibu Katibu Mkuu, na kisha Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango ya Uchumi (MOFEA).
View attachment 2758357
Sijui lini alikuja kuoana na Vicky Kamata, lakini ninakumbuka 2018 nilikutana na Dr. Likwelile akiwa na mkewe Vicky Kamata na binti yao (umri kama miaka 4 hivi) nikiwa kwenye matibabu pale Regency Hospital akanitambulisha kwa mkewe, nikimwambia kutojali mambo ya siasa za Magufuli (alikuwa ameanchishwa/fukuzwa kazi unceremonoiusly) na kumshauri arudi kufundisha UDSM.
Sikupata taarifa zake tena hadi alipofariki kwa COVID 19 2021 kama miezi 6 hivi baada ya serikali ya Magufuli kumuwekea ngumu asiajiriwe na Economic Commission for Africa (ECA), yeye na [Balozi?]Mama Mulamula.
Nimeandika yote haya kubainisha unfairness ya hukumu ya mahakama dhidi ya Vicky Kamata kuhusu mirathi ya mumewe, Dr. Servacius Likwelile.
Aidha, hatuwezi kumlaumu Dr. Likwelile kutokuandika wosia kwa kuwa kifo chake (COVID 19) kilikuwa cha ghafla. Mashirika kama @TAWLA, @WLAC, @TLS, @THRDC au @LHRC hayapaswi kuwa wanafiki. Wamsaidie Vicky Kamata apate haki zake za mirathi ya marehemu mume wake.
Kisheria ndoa ya kwanza ingefutika endapo kungetokea kifo cha mke wa kwanza au angetalikiana naye rasmi kabla ya kumwoa Vicky. Alipokuwa anamwoa Vicky 2016 mkewe wa kwanza alikuwa bado yuko hai na alikuwa hajatalikiana naye kisheria. Hakuwa na cheti cha talaka kinachofuta cheti cha ndoa ya kwanza. Na kwa mujibu wa Vicky, pia alikuwa na masuria (michepuko) wengi.
Yebooo😃😃😃Nilimfahamu akiwa jirani yangu Mpiji Magoe akiwa na Bar yake kubwa na lodge inaitwa Beda Park. Vick kaja baadae sana
Hizo sheria ni kandamizi kwa wapendanao.... waliishi wote kwa miaka mingi hadi umauti unamkuta mmoja iweje kwenye mali iwe kizungumkuti, wampatie fungu lake.Vicky aliolewa kabla mke wa jamaa hajafariki. Kisheria ndoa ya vicky ni batili maana ile ya kwanza haikuwa imevunjika.
Unayosema ni kweli.Hizo sheria ni kandamizi kwa wapendanao.... waliishi wote kwa miaka mingi hadi umauti unamkuta mmoja iweje kwenye mali iwe kizungumkuti, wampatie fungu lake.
Watajijua wenyewe wasituchoshe sie, mjane mwenyewe jeuri anamsema hadi marehemu kwenye mitandao, mjane kigegoUnayosema ni kweli.
Lakini hili liwe funzo kwa wanaooa ama kuolewa mara ya pili bila kuvunja ndoa ya kwanza. Na wanaoingia kwenye ndoa na mtu ambaye unatambua kabisa kwamba hapo awali alikuwa na ndoa yake halali.
Vicky alitakiwa kuwa mjanja, angevuna pesa za mume wake lakini mali alizomkuta nazo asingekubali kuzigusa.
mimi siyo mkristo lakini je munaruhusiwa kuoa kanisani wakati ndoa ya kwanza haijavunjwa? Maana naona hapo kidogo kuna mushkeli kwa vile ndoa yao ilikuwa kanisani.mke wa ndoa kafariki 2020 mahakama ikasema Vicky siyo mke halali wewe unalazimisha,
Sema hata hivyo hawajakaa muda kivilee ..ila ningekua vicky nisingelilia mali...maana bado ana uwezo na mali anazoUnayosema ni kweli.
Lakini hili liwe funzo kwa wanaooa ama kuolewa mara ya pili bila kuvunja ndoa ya kwanza. Na wanaoingia kwenye ndoa na mtu ambaye unatambua kabisa kwamba hapo awali alikuwa na ndoa yake halali.
Vicky alitakiwa kuwa mjanja, angevuna pesa za mume wake lakini mali alizomkuta nazo asingekubali kuzigusa.