Unyanyasaji wa kisaikolojia dhidi ya wananchi wa Nyasa

Alln

Member
May 9, 2017
28
4
Hivi kwanini nizidi kupenda nchi yangu kwa lipi jema kama sisi huku jimboni kwetu Nyasa tulivyosahaulika toka uhuru mpaka leo kila sekta ni shida.

Nikianza na barabara hazipitiki utadhani wanyama ndio huishi huku.
Huduma za afya nazo shida, ndugu zetu hufa njiani kuelekea wilaya jirani ya Mbinga kupatiwa huduma ambapo barabara mpaka ufike huko Mbinga ni shida.

WanaJamiiForums tunaomba mtusaidie kuwakumbusha viongozi wetu juu ya ahadi zao vinginevyo unyanyasaji huu sio mzuri na sisi ni binadamu jamani. Ndege zinanunuliwa, treni za mwendo kasi zinaandaliwa, kwanini sisi huku Nyasa tusahaulike?

IMG-20170502-WA0095.jpg
 
Wale wanaoichagua CCM kwa asilimia 100 au ni wengine ??!!. Kilimanjaro barabara za lami mpaka makatani lakini bado wanaona haitoshi !! Hawaipi hata 40% , nyie mmeridhika na huduma mnayopewa na serikali na msilalamike chochote leo. Mbunge wenu anapiga meza na kuunga bajeti ya 34% mia kwa mia
 
Wale wanaoichagua CCM kwa asilimia 100 au ni wengine ??!!. Kilimanjaro barabara za lami mpaka makatani lakini bado wanaona haitoshi !! Hawaipi hata 40% , nyie mmeridhika na huduma mnayopewa na serikali na msilalamike chochote leo. Mbunge wenu anapiga mezania na kuunga bajeti ya 34% mia kwa mia

Acha uchochezi wa kipumbavu. Siyo jambo zuri kuchonganisha jamii fulani na serikali. Ni akili za kijinga hizi.

Kila jambo case study lazima iwe Kilimanjaro?? Mbona mikoa kibao Tanzania imeunganishwa barabara zake kwa lami?
 
Hivi kwanini nizidi kupenda nchi yangu kwa lipi jema kama sisi huku jimboni kwetu Nyasa tulivyosahaulika toka uhuru mpaka leo kila sekta ni shida.

Nikianza na barabara hazipitiki utadhani wanyama ndio huishi huku.
Huduma za afya nazo shida, ndugu zetu hufa njiani kuelekea wilaya jirani ya Mbinga kupatiwa huduma ambapo barabara mpaka ufike huko Mbinga ni shida.

WanaJamiiForums tunaomba mtusaidie kuwakumbusha viongozi wetu juu ya ahadi zao vinginevyo unyanyasaji huu sio mzuri na sisi ni binadamu jamani. Ndege zinanunuliwa, treni za mwendo kasi zinaandaliwa, kwanini sisi huku Nyasa tusahaulike?

View attachment 507077
Subirini 2020 tutawaletea T shirt, kofia na kanga.
 
Acha uchochezi wa kipumbavu. Siyo jambo zuri kuchonganisha jamii fulani na serikali. Ni akili za kijinga hizi.

Kila jambo case study lazima iwe Kilimanjaro?? Mbona mikoa kibao Tanzania imeunganishwa barabara zake kwa lami?
Kama upi kupita kilimanjaro?huko wabunge wenu si ndio manyanya na nape???
 
Ushauri wangu , Uchaguzi wa 2020 pigieni kura upinzani na kampeni zeni zitangazeni hadharani kwamba ifikapo 2020 kura kwa wapinzani, mkifanya hivyo maccm yatakuja mbio mbio kuanza kuwatengezeeni bara bara zenu. Pia mkiona wanalemaa anzeni kusema kwamba nyinyi mtajiunga na asili yenu ya Malawi, maana baadhi ya viongozi wa ccm labda wanawaona nyinyi si raiya wa Tanzania.
 
Kama upi kupita kilimanjaro?huko wabunge wenu si ndio manyanya na nape???
Manyanya huyo mungu anawaona juz cku ya mwenge wakatengeneza sehemu ya kupitixha mwenge tu yan wananchi na mwenge mwenge ni bora zaid aisee Tanzania bac tu
 
Ushauri wangu , Uchaguzi wa 2020 pigieni kura upinzani na kampeni zeni zitangazeni hadharani kwamba ifikapo 2020 kura kwa wapinzani, mkifanya hivyo maccm yatakuja mbio mbio kuanza kuwatengezeeni bara bara zenu. Pia mkiona wanalemaa anzeni kusema kwamba nyinyi mtajiunga na asili yenu ya Malawi, maana baadhi ya viongozi wa ccm labda wanawaona nyinyi si raiya wa Tanzania.
Kwel aisee mana sasa ni zaid ya dharau duu ndege zanunuliwa, tren zaja na mwendo kas wenzetu wanapata sis ni nan Tanzania malaw naona inatuhusu sio kusahaurika huko
 
Acha uchochezi wa kipumbavu. Siyo jambo zuri kuchonganisha jamii fulani na serikali. Ni akili za kijinga hizi.

Kila jambo case study lazima iwe Kilimanjaro?? Mbona mikoa kibao Tanzania imeunganishwa barabara zake kwa lami?
Sio hvyo bal ni jeur ya serikali zid yetu kwann sis ila mungu anawaona kama kwel Tanzania ni wote
 
Ushauri wangu , Uchaguzi wa 2020 pigieni kura upinzani na kampeni zeni zitangazeni hadharani kwamba ifikapo 2020 kura kwa wapinzani, mkifanya hivyo maccm yatakuja mbio mbio kuanza kuwatengezeeni bara bara zenu. Pia mkiona wanalemaa anzeni kusema kwamba nyinyi mtajiunga na asili yenu ya Malawi, maana baadhi ya viongozi wa ccm labda wanawaona nyinyi si raiya wa Tanzania.
Lazma tuanze mazungumzo na peter mutharika mapemaa mana yawezekana sis sio watanzania jaman
 
Hivi kwanini nizidi kupenda nchi yangu kwa lipi jema kama sisi huku jimboni kwetu Nyasa tulivyosahaulika toka uhuru mpaka leo kila sekta ni shida.

Nikianza na barabara hazipitiki utadhani wanyama ndio huishi huku.
Huduma za afya nazo shida, ndugu zetu hufa njiani kuelekea wilaya jirani ya Mbinga kupatiwa huduma ambapo barabara mpaka ufike huko Mbinga ni shida.

WanaJamiiForums tunaomba mtusaidie kuwakumbusha viongozi wetu juu ya ahadi zao vinginevyo unyanyasaji huu sio mzuri na sisi ni binadamu jamani. Ndege zinanunuliwa, treni za mwendo kasi zinaandaliwa, kwanini sisi huku Nyasa tusahaulike?

View attachment 507077
nimeipenda hiyo greenish hope serikali imekusikiza maana humu mawaziri na waandamizi wa serikali wapo
 
nimeipenda hiyo greenish hope serikali imekusikiza maana humu mawaziri na waandamizi wa serikali wapo
Kama kwel wapo waache hyo tabia ya kutetea ilani ya matumbo yao sio vizur hvyo Tanzania ni yetu tu furah woteee jaman vingnevyo mi naona malaw inatuhusu sio watanzania sis Kwa stair hyo
 
Back
Top Bottom