Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,300
- 33,919
Naomba radhi picha hazitakuwa nzuri kwa jamii lakini kuthibitisha jambo lenyewe ni lazima kuweka hizo picha.
Unyama wa namna hii inawezekanaje ukatokea Tanzania?
Nimepewa taarifa kijana huyu alishambuliwa na watu anaodai kuwa ni Polisi hapa Iringa.
Kwa vyovyote vile ilivyo tunaomba Jeshi la Polisi wafanye uchunguzi Ili aliyemshambulia huyu kijana apatikane na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.
Unyama wa namna hii inawezekanaje ukatokea Tanzania?
Nimepewa taarifa kijana huyu alishambuliwa na watu anaodai kuwa ni Polisi hapa Iringa.
Kwa vyovyote vile ilivyo tunaomba Jeshi la Polisi wafanye uchunguzi Ili aliyemshambulia huyu kijana apatikane na hatua za kisheria zichukuliwe dhidi yake.