Ndio... @vintage1q na bwana clear ni wamoja
Kaka jambazi uko na ujasiriBado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Alafu mimi nishaanza kusanuka,kuna uzi alidai ana watoto watatu,aliufuta ila kuna jamaa alishamauote alafu uzi mwingine akadai ana watoto wawili taa nyekundu ikaanza kuwaka kichwani nikaleft kwa mdavijana wapumbavu sana.. nimesoma hiyo hadith ya vintage ya kina yasinta na upendo..... imekajaa kusadikika kwingi sana.. mtu utembee from rangi tatu to kibada kwa miguu??!!..
Kaka muungwana akikosea huchutama .Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Pale ambako unakuwa muongo afu memory 0Alafu mimi nishaanza kusanuka,kuna uzi alidai ana watoto watatu,aliufuta ila kuna jamaa alishamauote alafu uzi mwingine akadai ana watoto wawili taa nyekundu ikaanza kuwaka kichwani nikaleft kwa mda
It's too little too late mkuu. Kwa comment hii hakuna wa kukuamini.Bado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Kwenye uzi wa Maisha ya ndoa na familiaBado nawahakikishia kwamba mimi si Vintage1q. Kuna njia nyingi tu ambazo zingetumika kutaka kujua kama hili jambo ni kweli au si kweli. Angejitokeza mtu mmoja aulize yuko wapi na aonane nae na kisha tuendelee kuchat hapa. Akaunti ambayo natumia mimi niliichukua kutoka kwa huyu ndugu. Sikuwa na akaunti JF by then. Nikawa natumia akaunti yake mara nyingi na kaamua kuniachia akafungua nyingine na bila shaka kuna details zinafanana. Nimehuzunika sana. Bado mnayo njia ya kuweza kuthibitisha kama hili nikweli au la
Tulikutana live zaidi ya mara 1.. Kuna mengi kwenye hili ..Si mlikutana laivu kama anadai alikuwa kachoka ama?
Kwakuwa anakuwa mbishi mbishi kitakachofuata ni kuwaoomba moderators watupe location yake ili akapigwe viboko kwanzaMr clearmind please stop this, unajua tuliongea nini na ukaniambia nini, na unajua nafahamu ukweli kwani ile mbinu yako ilikuwa rahisi sana kuigundua.
Kubali yaishe, kuwa na ID zaidi ya moja sio dhambi, bali dhambi ni kutaka kurubuni watu au kuleta utapeli.
Natamani isiwe alikupiga manoti maana dah ππTulikutana live zaidi ya mara 1.. Kuna mengi kwenye hili ..
Tulikuwa na mawasiliano tangu 0ctober 2022.. Ni safari ndefu mpaka leoNatamani isiwe alikupiga manoti maana dah ππ
Umempata?Hii thread/message inanipa wazimu a friend of mine tulikuwa pamoja three days ago .. Jana kanambia ni Bora afe kuliko aendelee kuisho huki akilia Kwa uchungu..
Leo tokea asubuhi mpaka hivi sasa hajaonekana , .. Nina mixed feelings hofu pamoja na majonzi again nakutana na Uzi kama huu... Damn