antivirus kwenye cm? Ananin anachoweka mpaka awe na antivirus?Unatumia antivirus gani?
Angalia vizuri hiyo background image, inaonyesha bugs. Ni lazima kuna app ameweka.antivirus kwenye cm? Ananin anachoweka mpaka awe na antivirus?
Tumia FM ndo ipo fresh achana na hizo nyingineHabari za Asubuhi Wapwa?
Naombeni nilete kitu kwenu, mimi ni mtumiaji mzuri wa unofficial WhatsApp kama vile Yo WhatsApp , FM WhatsApp, GB WhatsApp , shida imekuja jana baada ya simu yangu kuwa inaniletea ujumbe unaosema niiondoe kwenye simu hii Yo WhatsApp kuwa ina virus,lakini niliiondoa simu ikiaacha kuleta ujumbe huo, ila mimi napenda sana kutumia unofficial huwa najihisi niko dunia tofauti, nimejaribu kudownload upya mambo ni yale yale ila nikichukua ya play store hakuna ujumbe wowote na simu inaonekana iko safety.
Wadau nanyi mmekumbana na issue kama hii?
View attachment 1572068
Mpwa inanitesa kichizi imenibidi niishi bila WhatsApp kuliko kurudi official .
Faida ni nyingi sana kubadili themes unayoitaka , styles , antidelete messages, kuview status + kudownload papo hapo , hizo ni baadhi tu .Naomba kujua kwan hizo Whatsap nyingine zina nini haswa cha zaid kilichoizidi hii Official Whatasp? Mm natumia Official maana naamini ndo yenye usalama zaidi!