I think ni zile modem ambazo hazitumii laini kutoka Zantel. EC122 ni CDMA. Wajinga hawabahatishi, huwezi ku unlock kabisa. Endelea kuitumia hiyo hiyo coz ndo mtandao wenye internet yenye kasi kuliko yote.(part of etisalat) km gharama ni kubwa ifanye card reader but ku unlock usiangaike ht kutafuta ushauri.