Unlocking iphone 4s

Hilal Mjuni

Member
Joined
Aug 16, 2013
Posts
13
Reaction score
3
Habari ndugu na jamaa nina iphone 4s tatizo langu ni kwamba hio simu ilifanyiwa jailbreaking na mimi nikai update ios kufikia 7.1 na sasa ikiwaka inataka kuactivate lakini inadai sim not valid kwa anaejua solution aniambie na gharama. Thanks to all
 

Unahitaji kujia ina lock ya mtandao gani na wa wapi kwanza, then itakubidi ufanye payment ambayo inategemea na mtandao then pia it depends inaweza kuchukua siju 1-3 kwa mtandao kama wa AT&T au inaweza kuchukua siku 30 kwa mtandao kama Orange
 
Asante sana payment zinafanyika vipi maana nimesha jua imelockiwa na AT&T?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…