Habari wakuu
I attended university upto the last academic year but due to some unforeseen circumstances I dropped out. I want to go back and redo the last year and that means financing myself so I have to look for emoloyment. I need advice on what employment can one get as a university drop out ?
Serikali zetu zibadilishe mfumo wa kuangalia vyeti badala yake waangalie uzoefu kwa maana ya uwezo wa mtu binafsi wa kufanya mambo,sawa na nafasi a nayoiomba kuitendea kazi.
Serikali zetu zibadilishe mfumo wa kuangalia vyeti badala yake waangalie uzoefu kwa maana ya uwezo wa mtu binafsi wa kufanya mambo,sawa na nafasi a nayoiomba kuitendea kazi.
Yeah nilikuwa under scholarship ila muda wake umetimia kwa sasa NIKIRUDI chuoni expenses zote juu yangu ndio maana nauliza Ni sehemu gani naweza ajiriwa as a university drop out
Tusiilaumu serikali kwa kila kitu. Sasa mnataka muajiriwe bila uthibitisho wa kile ulicho nacho.
Kwanza kua na cheti, kisho ndio uonyeshe uwezo kivitendo, ili uajiriwe.