Ni muhimu sana kuwa na program za namna hii. Ila zinapaswa kuwa na dhamira nzuri na sio ubabaishaji ama kutafuta mawazo ya biashara kupitia vijana hawa.
Nadhani ni muhimu kuwa na mkataba wenye kuonesha umiliki wa wazo la mtu na kuzuia mwingine yeyote kulitumia wazo hilo bila idhini ya mmiliki wake, kwahiyo patent right inahusika sana hapo.