joramjason
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 425
- 132
Anywe sumu afe tu
Bila safari za raisi nchi hii haiwezi kujiiendesha kwani huko aendako aneenda kuomba
tanzania ni kati ya nchi zinazosaidiwa sana pia ni kibaraka wa waamerika na wamagharibi hivyo mwacheni asafiri
hata huyu silaa naye atahitajika kusafiri
chuki mchukieni haki yake mpatieni