Kwakua mie ni mkali nadhani naweza kuolewa na na na na a a a a a!!!!! Nimekumbuka huyo wa (11) hebu EIYER piga hesabu ya faster faster yaaaani MKALI a.k.a. muonja kilaji + mkorofi,mlevi =..........................
wewe una hofu ya mungu?
More than u think. . . . . . . .
kumbe ndo maana sina mwanaume..watu wamejilimbikizia wenyewe..
kumbe ufisadi hadi kwenye mapenzi upo..
gap baina ya wenye nacho na wasio nacho kumbe ni kila mahali sikujua!...
wenzangu mnahesabu 11 mimi smile nipo 0...daaaah!
Ni kweli Comi, macho ya rohoni ni kwamba uwe umeokoka, tena wake wema wapo, wazuri wenye vigezo vyote. Tatizo ni wale watafutaji mko kidunia zaidi.