Ungekubali uolewe na yupi kati ya hawa. . . . ??


Sitaki kutia neno hapo bana!
 
kumbe ndo maana sina mwanaume..watu wamejilimbikizia wenyewe..
kumbe ufisadi hadi kwenye mapenzi upo..
gap baina ya wenye nacho na wasio nacho kumbe ni kila mahali sikujua!...
wenzangu mnahesabu 11 mimi smile nipo 0...daaaah!

umenichekesha sana smile.lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…