Hapa mkuu nilikosea namba nikatuma laki6 kimakosa na nilie mtumia alikua anadaiwa songesha elfu moja hivyo sikufanikiwa kurudisha pesa maana niliambiwa mteja kasha itumia kias flan Cha pesa, na ili muamala urudi wote mpaka kiasi kiwemo chote, kikipungua hata sh 100 huwezi rudisha pes