Ungekua wewe ungefanyaje?

Baadae tukabishana akanitema, nikarudia kuzuia muamala sikufanikiwa. Nikapga sm tena akapokea mdada huyo ndo akanisaidia kusitish
Umeona sasa,yani wahudumu ni wa hovyo sana,kuna mmoja niliwaka nae sana wa Airtel, akajifanya ana hasira akakata simu,nikapiga akapokea mwingine nikampekesha akanisaidia afu nikamwambia mteja kwenu ni kero? Alikuwa mdogo kama mshumaa.

Usikate tamaa mapema mkuu,wasumbue sana watakusaidia tu
 
Achana na mambo ya kwenda Dar, kama unataka kuhama nenda Katoro au Mwanza
 
Hapa ungemtumia tena kiasi kilichobaki ili kitimie kile kiasi sahihi ili waizuie.

Top up kile kiasi kilichokatwa ili warejeshe kupitia muamala ule wa mwanzo.

 
Njoo nikupe eneo hapa Barbara ya swahili DSM unaweza kulipia laki 4 Kwa mwezi jamaa? Kama ndiyo njoo inbox
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…