2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,182
- 4,828
Umeona sasa,yani wahudumu ni wa hovyo sana,kuna mmoja niliwaka nae sana wa Airtel, akajifanya ana hasira akakata simu,nikapiga akapokea mwingine nikampekesha akanisaidia afu nikamwambia mteja kwenu ni kero? Alikuwa mdogo kama mshumaa.Baadae tukabishana akanitema, nikarudia kuzuia muamala sikufanikiwa. Nikapga sm tena akapokea mdada huyo ndo akanisaidia kusitish
Usikate tamaa mapema mkuu,wasumbue sana watakusaidia tu