Hiyo hapo mkuu,sorry kwa kuwapotezeaMkuu umetutupa mkono
Shukran. Matumizi yake tunaomba tuelekezane.Hiyo hapo mkuu,sorry kwa kuwapotezeaView attachment 1655115
Matumizi yake ni kuchuma majani ya huo mmea na kuyachemsha,yakishachemka unayatoa majani na kubakiza kimiminika,kwani ukiyaacha majani ndani ya kimiminika huwa yanasababisha kuongezeka kwa radha ya uchungu,baadae ya hapo kunywa kikombe kimoja cha Chai kutwa Mara tatuShukran. Matumizi yake tunaomba tuelekezane.
Shukran mkuuMatumizi yake ni kuchuma majani ya huo mmea na kuyachemsha,yakishachemka unayatoa majani na kubakiza kimiminika,kwani ukiyaacha majani ndani ya kimiminika huwa yanasababisha kuongezeka kwa radha ya uchungu,baadae ya hapo kunywa kikombe kimoja cha Chai kutwa Mara tatu
ÑB. Ukiweka majani ya michai chai inapendeza zaidi,tumia kwa siku tatu hadi tano,hutaona UTI ,,pia hiyo juisi ya huo mmea hutibu homa ya manjano,majani yake yanatibu vidonda pia(fresh wounds)
.
Huu mmea unaitwaje jina lake tuusakeMatumizi yake ni kuchuma majani ya huo mmea na kuyachemsha,yakishachemka unayatoa majani na kubakiza kimiminika,kwani ukiyaacha majani ndani ya kimiminika huwa yanasababisha kuongezeka kwa radha ya uchungu,baadae ya hapo kunywa kikombe kimoja cha Chai kutwa Mara tatu
ÑB. Ukiweka majani ya michai chai inapendeza zaidi,tumia kwa siku tatu hadi tano,hutaona UTI ,,pia hiyo juisi ya huo mmea hutibu homa ya manjano,majani yake yanatibu vidonda pia(fresh wounds)
.
Uchafu wa vyoo imekuwa tatizo kwa kina mamaHuu mti wa UTI ni upi mkuu japo picha kama jina itakua ngumu maana kama ulivosema UTI imekua tatizo mkuu
Kama huwa humalizi mwezi malaria na UTI vinakurudia pima damu kwenye maabara ya uhakika na umpate daktari wa kukutafsria majibu vizuri.Unga unapatikana, ila ukienda maduka ya kisuna huwa wanauza kijiko kimoja ni shilingi 1000, cha kukushauri ni kuwa Fanya namna upate mbegu za mlonge upande(uoteshe) maana ndani ya miezi mitatu tu unaanza kuvuna, katika familia yangu kuna miti miwili ambayo kwangu ni mhimu, wa kwanza ni huu mlonge kwa ajili ya tiba ya malaria na kuondoa sumu mwilini,
Lakini pia kuna mti Fulani ambao huwa nautumia kwa ajili ya kutibu UTI, kwa sasa haya magonjwa ni tatizo kwani mtu hawezi maliza mwezi hajaugua eidha malaria au UTI, hivyo nashauri kwa raia yeyote anayependa afya yake kuwa ni miti hii ili kujiepusha na matumizi ya Mara kwa Mara ya dawa za viwandani.
Mwisho mimi niko mbali toka hapo Shinyanga, ila kama utakwama sana naweza kukuagizia mbegu za mlonge uoteshe, nitakuagizia kupitia magari ya Mwanza lakini pia nikutakie pole kwa shida unayoipata juu ya afya yako na nikutakie pia uponaji wa haraka.
Karibu.Wasaalaaam ndugu! Nashida na unga wa majani ya mlonge nitapata wapi nipo Shinyanga kwa sasa.
Nmekunywa madawa sana kwa ajili ya tiba mbalimbali najihisi mwili mzito baaada ya kufuatilia nmepata fununu mlonge unasaidia kuondoa sumu mwilini kwa hiyo nauhitaji kwa ajili ya kazi hiyo