chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,722
Hizi engine za umeme ni zaidi ya engine za mafuta. Nimejaribu kufatilia makala mbali mbali kupitia Youtube watu wanavyobadili magari ya zamani au kujitengenezea kama kaka yetu Masoud kipanya.
Wanabadilisha injini na kuzifunga kwenye magri yao na kuziongezea ubora zaidi.
Ukikuta gari imekufa injini usiogope kwa nyie mafundi haijalishi ni ipi.
Injini hizi zinategemea kwa jinsi zilivotengenezwa na zengine zina gearbox.
wadau embu tusanuke.
Wanabadilisha injini na kuzifunga kwenye magri yao na kuziongezea ubora zaidi.
Ukikuta gari imekufa injini usiogope kwa nyie mafundi haijalishi ni ipi.
Injini hizi zinategemea kwa jinsi zilivotengenezwa na zengine zina gearbox.
wadau embu tusanuke.