Undisputable: CHADEMA wamehalalisha rushwa

Undisputable: CHADEMA wamehalalisha rushwa

Waberoya

Platinum Member
Joined
Aug 3, 2008
Posts
15,157
Reaction score
10,816
Walimtaja Lowassa kwenye list of shame, na walimtukana na kumsema kwa miaka kama 8, huku msigwa, sugu, Lissu, Lema wakizungumza kila neno baya juu ya Lowasa na ufisadi wa CCM

Slaa alipita nchi nzima akieleza bayana uchafu wa Lowassa na CCM,

Baada ya Mbowe kupiga hesabu zake za kibiashara na kuona kuna faida ya Lowassa akiingia chadema (a mbayo ameipata) kuongeza ruzuku na wabunge , na ili aendelee kutawala chadema kwa mkono wa chuma, na kila mwana CHADEMA 'msukule' atamsifia kuwa ameongeza viti hivyo anafaa!

Mbowe na kundi lake walitumia siasa na maneno ambayo hayakuwa rahisi kueleweka kwa wananchi! ikumbukwe LowasSa aliishakuwa popular hata kabla ya kuingia CHADEMA ilikuwa jukumu la chadema kama lina upendo kwa taifa hili, kuwazuia wale wenye mahaba na Lowassa kuwa huyo mtu ni fisadi!

CHADEMA ikamnadi Lowasa kama mtu safi! ambaye ameathiriwa na mfumo tu wa CCM na serikali yake, na kwa kisingizo hicho ikaenda mbali zaidi kwa kusema rushwa kubwa zingine ambazo wao wana uhakika Lowassa hakuhusika kwasababu tu hakuwepo madarakani!

Leo kwa CHADEMA unaruhusu mtu yeyote aliyeko CCM na serikali yake waendelee kula rushwa tu kwa sababu tatizo ni MFUMO, kwa akili za chadema na wanachama wake, kwao MFUMO NI lijitu linakuja au kuanguka kutoka angani..MFUMO SIO MTU, KWA CHADEMA ..UFISADI UENDELEE TU MPAKA WAO WATAKAPOINGIA MADARAKANI

Ndio, kwani wakipinga vita rushwa, watatumia vigezo gani?

viti mmeongeza, ruzuku mmeongeza, ila chama mmekiua......

Rushwa ni neno gumu kwa CHADEMA sasa, wamethibitisha hilo baada ya kuondoa List of shame kwenye mtandao wao!! hivi kama vita kubwa sio rushwa kwa Tanzania ya sasa itakuwa ni nini?

CHADEMA ilikuwa na uchu wa kuingia ikulu kwa namna yoyote ile, japo akili ya Mbowe alijua fika ikulu hawaendi.Tuhuma za Mbowe kula rushwa au kuuza chama, na kuendelea kumrubuni EL hazitakaa tusiziseme, tunahitaji ndugu zetu walioko chadema wafanyiwe deliverance/waokolewe na macho yao yaone ule ukweli..Kuwa Chadema imepoteza majimbo 11 sio habari ndogo! hata kidogowote tunataka CCM itoke , ila sio kwa style ile....na sio kwa style hii ya KUSEMA ..INFERING, kuwa watu wale tu RUSHWA kwa sababu mfumo ni mbovu

Nitashangaa sana kama watu na akili zenu mnaojiita wanachadema, mtaendelea aidha kuwa wapenzi wa hili chama au kukitetea kwa mahab yote, TAIFA LINA TATIZO LA RUSHWA NYIE MNALIONGEZEA IN THE NAME OF MFUMO?

disgusting!

wa kuchukiwa daima

waberoya
 
Hizi story zimeshapoteza mvuto, tutafute zingine.
 
Walimtaja Lowassa kwenye list of shame, na walimtukana na kumsema kwa miaka kama 8, huku msigwa, sugu, Lissu, Lema wakizungumza kila neno baya juu ya Lowasa na ufisadi wa CCM

Slaa alipita nchi nzima akieleza bayana uchafu wa Lowassa na CCM,

Baada ya Mbowe kupiga hesabu zake za kibiashara na kuona kuna faida ya Lowassa akiingia chadema (a mbayo ameipata) kuongeza ruzuku na wabunge , na ili aendelee kutawala chadema kwa mkono wa chuma, na kila mwana CHADEMA 'msukule' atamsifia kuwa ameongeza viti hivyo anafaa!

Mbowe na kundi lake walitumia siasa na maneno ambayo hayakuwa rahisi kueleweka kwa wananchi! ikumbukwe LowasSa aliishakuwa popular hata kabla ya kuingia CHADEMA ilikuwa jukumu la chadema kama lina upendo kwa taifa hili, kuwazuia wale wenye mahaba na Lowassa kuwa huyo mtu ni fisadi!

CHADEMA ikamnadi Lowasa kama mtu safi! ambaye ameathiriwa na mfumo tu wa CCM na serikali yake, na kwa kisingizo hicho ikaenda mbali zaidi kwa kusema rushwa kubwa zingine ambazo wao wana uhakika Lowassa hakuhusika kwasababu tu hakuwepo madarakani!

Leo kwa CHADEMA unaruhusu mtu yeyote aliyeko CCM na serikali yake waendelee kula rushwa tu kwa sababu tatizo ni MFUMO, kwa akili za chadema na wanachama wake, kwao MFUMO NI lijitu linakuja au kuanguka kutoka angani..MFUMO SIO MTU, KWA CHADEMA ..UFISADI UENDELEE TU MPAKA WAO WATAKAPOINGIA MADARAKANI

Ndio, kwani wakipinga vita rushwa, watatumia vigezo gani?

viti mmeongeza, ruzuku mmeongeza, ila chama mmekiua......

Rushwa ni neno gumu kwa CHADEMA sasa, wamethibitisha hilo baada ya kuondoa List of shame kwenye mtandao wao!! hivi kama vita kubwa sio rushwa kwa Tanzania ya sasa itakuwa ni nini?

CHADEMA ilikuwa na uchu wa kuingia ikulu kwa namna yoyote ile, japo akili ya Mbowe alijua fika ikulu hawaendi.Tuhuma za Mbowe kula rushwa au kuuza chama, na kuendelea kumrubuni EL hazitakaa tusiziseme, tunahitaji ndugu zetu walioko chadema wafanyiwe deliverance/waokolewe na macho yao yaone ule ukweli..Kuwa Chadema imepoteza majimbo 11 sio habari ndogo! hata kidogowote tunataka CCM itoke , ila sio kwa style ile....na sio kwa style hii ya KUSEMA ..INFERING, kuwa watu wale tu RUSHWA kwa sababu mfumo ni mbovu

Nitashangaa sana kama watu na akili zenu mnaojiita wanachadema, mtaendelea aidha kuwa wapenzi wa hili chama au kukitetea kwa mahab yote, TAIFA LINA TATIZO LA RUSHWA NYIE MNALIONGEZEA IN THE NAME OF MFUMO?

disgusting!

wa kuchukiwa daima

waberoya
Ningekuwa lowasa ningempiga risasi mbowe lasivyo arudishe hela zangu. Walimfanyia uhuni sana huyu mzee. Hela kawapa na urais kashindwa.
 
We jamaa wewe naona una msongo mkali wa mawazo kiasi cha kufa. Frustration za kusimamisha wagombea 240 na kuambulia 1 tena the unquestionable supreme leader sio mchezo.
 
Ukuta wa ukweli Tanzania ni mkubwa
Utavunjwa be my guest on upcoming days
 
We jamaa wewe naona una msongo mkali wa mawazo kiasi cha kufa. Frustration za kusimamisha wagombea 240 na kuambulia 1 tena the unquestionable supreme leader sio mchezo.
kumbe mgombea wao wa urais hata kura laki hakupata , pamoja na trips zote alizopiga !
Wamempoteza hadi machali , hii dhambi haitawaacha .
 
CDM chama cha wachumaji tu toka alivyoingizwa Lowassa, wao mwenye pesa ndo mfalme na kapuku ni msaliti ..hii ni Chadema New Paradigm
 
Zitto bado unaiota Chadema? Ulifikiri wewe ni maarufu sana na kujenga chama ni rahisi. Sasa umeona kazi iliyoko mbele yako na umebakia kuitukana Chadema kila kunapombambazuka. Mwenzio Wasira alisema Chedema itakufa matokeo yake yeye ametokomea kisiasa na ameiacha Chadema yenye nguvu zaidi.
 
Waberoya hivi bila kuandika kuhusu CHADEMA huwa mnakosa cha kuandika? Inakuwaje maovu yote yanayorudisha nyuma maendeleo ya taifa letu yafanywe na CCM lakini nyie mko bize kuinanga CHADEMA kama vile yenyewe ndiyo chanzo cha kukwama kwetu kama taifa!?

Nyie na Dr. Slaa si mlimpigania Magufuli awe Rais na keshakuwa, sasa Kwa nini msiwaache CHADEMA na "Fisadi" wao Lowassa wajenge chama chao ili huko mbele ya safari wananchi waaamue!?
 
Zitto bado unaiota Chadema? Ulifikiri wewe ni maarufu sana na kujenga chama ni rahisi. Sasa umeona kazi iliyoko mbele yako na umebakia kuitukana Chadema kila kunapombambazuka. Mwenzio Wasira alisema Chedema itakufa matokeo yake yeye ametokomea kisiasa na ameiacha Chadema yenye nguvu zaidi.

Hoja ni vema wasomaji tuone mantiki, hebu fikiria nccr mageuzi nayo imepata kiti kimoja wakati ni zee kuliko act changa kabisa. Hizo ni ajira za wanasiasa na dawa nikupunguza mishahara na posho uone kama watawekeza kukimbilia bungeni.
 
Waberoya hivi bila kuandika kuhusu CHADEMA huwa mnakosa cha kuandika? Inakuwaje maovu yote yanayorudisha nyuma maendeleo ya taifa letu yafanywe na CCM lakini nyie mko bize kuinanga CHADEMA kama vile yenyewe ndiyo chanzo cha kukwama kwetu kama taifa!?

Nyie na Dr. Slaa si mlimpigania Magufuli awe Rais na keshakuwa, sasa Kwa nini msiwaache CHADEMA na "Fisadi" wao Lowassa wajenge chama chao ili huko mbele ya safari wananchi waaamue!?

umejiunga 2011 humu, ni mgeni mno!!

CCM imeishasemwa mpaka imeshindikana, dawa ni kuwabana wapinzani walete mabadiliko ya kweli,na sio utopian stories

chadema ni wahuni kama wakikosea tutawasema tu kama tunavyowasema panya road, komando yosso na kama mlivyomsema sana Lowassa kabla hajaja chadema!
 
Zitto bado unaiota Chadema? Ulifikiri wewe ni maarufu sana na kujenga chama ni rahisi. Sasa umeona kazi iliyoko mbele yako na umebakia kuitukana Chadema kila kunapombambazuka. Mwenzio Wasira alisema Chedema itakufa matokeo yake yeye ametokomea kisiasa na ameiacha Chadema yenye nguvu zaidi.

acha kuweweseka wewe....mwishoni utaniita baba yako!

NCCR ina miaka mingapi? japo walikuwa chini ya UKAWA? chadema imepoteza vingapi?? we poteza muda weka chuki kwa zitto uone kama zinakusaidia wewe binafsi na chama chako
 
Huko alipo lowasss kuna wakati anajifungia chumbani analia weee halafu anajifuta machozi anatoka nje anacheza na wajukuu zake

Mbowe ana mliwaza eti watu waandamane! mara ICJ...ICC, mara sijui nini

ishatoka hiyo

mbowe ashakunja zake
 
Back
Top Bottom