optimist
JF-Expert Member
- Sep 13, 2009
- 284
- 106
Ilikuwa tarehe 10 june 2013 siku ambayo walimu wa masomo ya sayansi mkoani lindi walipokutana lindi sec kwa ajili ya kuwajengea uwezo wao katka umahili wa kufundisha masomo yao lakn cha kushangaza walimu walivotoka mashuleni kwao waliambiwa stahiki zao watalipwa na waandaaji wa semina hiyo ambao ni Moevt na wadau wengine, chakusikitisha walimu hao walilipwa elfu 15 kwa siku ikiwa ni pesa ya kujikimu huku wengine wakalazimika kulala mabwenini baada ya kushndwa kumudu ghrama za malazi aidha katka kujadili na kutafuta ufumbuzi baada ya walimu kutoridhika na hoja za uongoz wa elimu mkoa ikabidi wawe msimamo wa kuahirisha semina mpaka watakapohakikisha kuwa maandaliz yamefana, mwenye kiti wa tahosa mkoa akaropoka kuwa hatuna muda wa kubembeleza hvyo aliye tayar na semina aendelea asiyetaka asepe mlango uko waz , mkasa mzma unaskitisha na kada ya elimu huu ni udharirishaji.