Boss Manyota
Member
- Nov 3, 2018
- 10
- 4
Jamii mbalimbali duniani zimekuwa na tamaduni za kipekee ambazo zimekuwa kwa kiasi fulani kuwa kama historia ama hadithi za kusadikika licha ya baadhi ya watu kuhusisha moja kwa moja na ukweli.
Nchini Papua New Guinea ndiko linalopatikana kabila ambalo limekuwa likihusishwa na ulaji wanyama za binadamu.
Kabila hili watu wake huishi maisha ya msituni na ya kale na inaelezwa kuwa kabda ya mwaka 1970 jamii hii lilikuwa halina ufahamu kama kuna binadamu wengine wanaoishi zaidi yao.
Nimekutana na Makala haya yaliyoandaliwa kwa umahiri huhusu kabila hili, itazame hapa
Kwa mwenye maelezo zaidi juu ya kabiila hili asisite kushare na sisi.
Nchini Papua New Guinea ndiko linalopatikana kabila ambalo limekuwa likihusishwa na ulaji wanyama za binadamu.
Kabila hili watu wake huishi maisha ya msituni na ya kale na inaelezwa kuwa kabda ya mwaka 1970 jamii hii lilikuwa halina ufahamu kama kuna binadamu wengine wanaoishi zaidi yao.
Nimekutana na Makala haya yaliyoandaliwa kwa umahiri huhusu kabila hili, itazame hapa
Kwa mwenye maelezo zaidi juu ya kabiila hili asisite kushare na sisi.