Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,670
- 22,261
Kama hivyo na ile Tshs. 1.5 tr. Nayo inahitaji majibu kwani ilichukuliwa na haohao watu wasiojulikana ndiyo sababu haichunguzwi.Tuongeze na chacha wangwe!
Kama hivyo na ile Tshs. 1.5 tr. Nayo inahitaji majibu kwani ilichukuliwa na haohao watu wasiojulikana ndiyo sababu haichunguzwi.Tuongeze na chacha wangwe!
Unatafuta pa kuchomokea?Kama Viongozi wa juu ndani ya Chama waliweza Kuwa wanapanga hujuma dhidi ya wenzao Kwanini tusiamini Kuwa Hata ya Ben saanane Na ya Lissu Ni michezo hiyo hiyo?
Kwa hiyo wale wakina sophia simba walivyokuwa na imani na lowasa wakakatwa yakaja haya ya moo kumbe ccm inahusika?Kama Viongozi wa juu ndani ya Chama waliweza Kuwa wanapanga hujuma dhidi ya wenzao Kwanini tusiamini Kuwa Hata ya Ben saanane Na ya Lissu Ni michezo hiyo hiyo?
TOO LATE TO REVERSE.Binafsi sijasikiliza hiyo clip bali nimesoma maelezo ya kilichomo katika hiyo clip ambayo inaonekane kuwalenga watu binafsi ndani ya chama na si chama chenyewe.
Swali:
Kama waliotaka kufanyiwa uhalifu/hujuma ni watu binafsi ndani ya chama, chama kinawezaje kumpeleka mtuhumiwa mahakamani ili hali sio chama kilicholengwa?
Hiyo kesi kwa jina la chama utaifunguaje?
Ndio maana polisi wakakataa uchunguzi huru au?Kama Viongozi wa juu ndani ya Chama waliweza Kuwa wanapanga hujuma dhidi ya wenzao Kwanini tusiamini Kuwa Hata ya Ben saanane Na ya Lissu Ni michezo hiyo hiyo?
Naona unaanza kupona...hii dawa imekuingia.Nikikujibu hili swali na mimi nitakuwa mpuuzi kama wewe.
Aisee ...hii ni Only in Chadema (OC).Hiyo kesi kwa jina la chama utaifunguaje?
Jikite kwenye mada mkuu!Kama hivyo na ile Tshs. 1.5 tr. Nayo inahitaji majibu kwani ilichukuliwa na haohao watu wasiojulikana ndiyo sababu haichunguzwi.
Naikiwa aliefanyiwa jinai ni raia nani anahusikaBinafsi sijasikiliza hiyo clip bali nimesoma maelezo ya kilichomo katika hiyo clip ambayo inaonekane kuwalenga watu binafsi ndani ya chama na si chama chenyewe.
Swali:
Kama waliotaka kufanyiwa uhalifu/hujuma ni watu binafsi ndani ya chama, chama kinawezaje kumpeleka mtuhumiwa mahakamani ili hali sio chama kilicholengwa?
Hiyo kesi kwa jina la chama utaifunguaje
------------------------------------------------------------------------
Chama chochote hakiwezi kuexist bila wanachana. Sifa ya chama ni wanachama. Kama wamefanya jinai dhidi ya wanachama kwa vyovyote wamekigusa chama. Sasa ikiwa viongozi ndiyo target yao hapa ndo chama kinahusika kabisa kutokana na mjadala kuwalenga viongozi chamani.
Jinai ni ishu ya individuals, nilichomaanisha ni kwamba mtu anaweza kukichafua chama kwa kumlenga mwenyekiti au kiongozi yeyote yule kwasababu mtu kama Mbowe ni representative wa wanachama wake. Japo anaweza kuwa yeye mwenyewe. So jinai kwa raia atasimama mwenyewe kama ambavyo mwingine anaweza kusimama.Naikiwa aliefanyiwa jinai ni raia nani anahusika