Dr wa Kaliua
JF-Expert Member
- Sep 20, 2020
- 1,636
- 3,807
Naomba kuuuliza mtu anaweza kupata mafunzo ya polisi kama Hana cheti Cha JKT
Msaaada
Msaaada
Wakitoa Tangazo la Ajira huwa wanatoaga na descriptions Mwanzo ulikuwa unaenda easily now days since Magufuli na mama wanazingatia urefu na cheti Cha jkt but all in all connections matter most in fucking countryNaomba kuuuliza mtu anaweza kupata mafunzo ya polisi kama Hana cheti Cha JKT
Msaaada