Serikali ya ccm haizitilii mkazo tena taasisi hizi kwani hawajui kuwa uscout na uguide vilikuwa vinawafundisha vijana stadi muhimu za maisha ambazo vijana wa leo wanazihitaji kwa maisha yao!!
Siku hizi kuna na Girl Scouts, nazo zimekumbwa na ufisadi pia. Wanawapeleka vijana ambao si wanachama nje ya nchi kwa malipo. Soma hii: Tanzanians who sought `asylum` in US face deportation (:: IPPMEDIA).