tulyfrance
Member
- Sep 11, 2016
- 16
- 2
Habarin wana Jf,
Nimesikia eti mtu huwezi kutransfer chuo kwenda kingne kwa faculty tofauti.
Mfano; Kutoka musoma utalii college koz ICT kwenda chato health science and technology.
Na kwamba unaweza kutransfer chuo lakn kwa koz ile ile ndo inawezekana , hivi ni kweli? Msaada tafadhali
Nimesikia eti mtu huwezi kutransfer chuo kwenda kingne kwa faculty tofauti.
Mfano; Kutoka musoma utalii college koz ICT kwenda chato health science and technology.
Na kwamba unaweza kutransfer chuo lakn kwa koz ile ile ndo inawezekana , hivi ni kweli? Msaada tafadhali