Sajenti
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 3,651
- 412
Kuna wachezaji wafuatao ambao katika timu zao walikuwa wakichezea nafasi za kiungo wa ulinzi namba 6 au kiungo ushambuliaji namba 8. Kwa maoni yangu mpaka wakati huu bado sijaona aina ya wachezaji wa kuwalinganisha nao. I wish hawa wachezaji wa soka wa nyakati hizi wangepata nafasi ya kuwaona nina imani wangejifunza vitu fulani adimu toka kwao.
1. Nicodemus Njohole - Simba
2. Ramadhani Lenny - Simba
3. Juma Mkambi - Yanga
4. Charles Boniface Mkwasa - Yanga
5. George Kulagwa - Simba
6. Athumani China - Yanga & Simba
7. Octavian Mrope - Majimaji
8. Hamis Thobias Gaga - Pilsner, Simba
9. Khalid Bitebo Zembwela - Pamba
10. Hussein Ngulungu - Pan African
11. Mohamed Yahya Tostao - Yanga & Pan African
12. Ezekiel Grayson " Jujuman" - Simba & Yanga
13. Issa Athuman Mgaya - RTC Kagera & Yanga
14. Ally Maumba - Coastal Union
15. Saidi George - Coastal Union
16. Charles Mngodo - CDA Dodoma
17. Aston Padon - Tukuyu Stars & Simba
18. Justin Mtekere - Tukuyu Stars & Yanga
1. Nicodemus Njohole - Simba
2. Ramadhani Lenny - Simba
3. Juma Mkambi - Yanga
4. Charles Boniface Mkwasa - Yanga
5. George Kulagwa - Simba
6. Athumani China - Yanga & Simba
7. Octavian Mrope - Majimaji
8. Hamis Thobias Gaga - Pilsner, Simba
9. Khalid Bitebo Zembwela - Pamba
10. Hussein Ngulungu - Pan African
11. Mohamed Yahya Tostao - Yanga & Pan African
12. Ezekiel Grayson " Jujuman" - Simba & Yanga
13. Issa Athuman Mgaya - RTC Kagera & Yanga
14. Ally Maumba - Coastal Union
15. Saidi George - Coastal Union
16. Charles Mngodo - CDA Dodoma
17. Aston Padon - Tukuyu Stars & Simba
18. Justin Mtekere - Tukuyu Stars & Yanga