Kwa ushauri nenda tu kwa branch yao hapo Dar, ufanye malipo hapo then wao wataleta hiyo gari.
Mimi nimeshafanya order online kuagiza magari mara nne tofauti na yalifika salama tu.Hivyo ili uwe na amani tumia branch yao hapo Dar.Maana wao wanafanya delivery hata mpaka nchi za jirani
Nashukuru sana! Ipo wapi ofisi yao kwa hapa dsm?
Habari za asubuhi wakuu!
Naomba msaada wenu, nataka kununua gari, na nimefanya mawasiliano na Beforward Co. LTD Japan kwa mtandao wao, na asubuhi hii nimekuta Pro forma Invoice kwa E-mail yangu, wakinitaka nikalipie ndani ya 48 hrs. Naomba msaada kujua uhalali na uwepo wa kampuni tajwa, mi huwa naona bango lao pale Jangwani, hivi vijihela nimevunja kibubu jana, na wabongo wamekuwa watu hatari sana, wasije niingiza mjini!
Natanguliza shukrani, ruksa kupita kimya kimya!
[Befoward Japan ni Kampuni nzuri ila nakupa tahadhari usije ukatumia agents wa BEFOWARD Tanzania ni wasumbufu na awajui kazi sisi hapa tumeagiza magari yameingia bandari Dar es salaam sasa ni mwezi wa pili lakini wameshindwa kuyatoa bandarini kila siku tunaacha kazi tunashinda ofisini kufuatilia bila mafanikio,
ila kuna tetesi ni kwamba agents wa BEFOWARD Tanzania wanawapa kipaumbele wafanya biashara wakubwa wenye magari mengi, wewe kama una magari mawili au matatu jiandae kusubiri miezi mitatu utazungushwa na hadithi za uongo uongo na file awataki kuachilia, kwakweli hawa agents wao Tanzania ni wababaishaji kweli na wanaharibu sifa ya BEFOWARD JAPAN
Befoward Japan ni Kampuni nzuri ila nakupa tahadhari usije ukatumia agents wa BEFOWARD Tanzania ni wasumbufu na awajui kazi sisi hapa tumeagiza magari yameingia bandari Dar es salaam sasa ni mwezi wa pili lakini wameshindwa kuyatoa bandarini kila siku tunaacha kazi tunashinda ofisini kufuatilia bila mafanikio,
ila kuna tetesi ni kwamba agents wa BEFOWARD Tanzania wanawapa kipaumbele wafanya biashara wakubwa wenye magari mengi, wewe kama una magari mawili au matatu jiandae kusubiri miezi mitatu utazungushwa na hadithi za uongo uongo na file awataki kuachilia, kwakweli hawa agents wao Tanzania ni wababaishaji kweli na wanaharibu sifa ya BEFOWARD JAPAN
acha woga minimetoka kutuma hela asubui namnunulia wifi yako ndinga maana ananikosha sana kipindi hiki cha baridi amejituma sana ...ngoja nimtunuku Noah
acha woga minimetoka kutuma hela asubui namnunulia wifi yako ndinga maana ananikosha sana kipindi hiki cha baridi amejituma sana ...ngoja nimtunuku Noah
Naunga mkono hoja. Ukitaka kujuta tumia Be forward Tanzania kama agents. Pengine wana hisa kwenye yard zinazohifadhi magari manake lazima ukutane na storage charge kubwa unaweza ukazimia kama wewe sio ngangari. Kifupi agiza gari Be forward Japan document zikifika waambie wakupatie then tafuta agent mwaminifu utapata gari lako kwa wakati bila gharama za ziada. Achana kabisa na Be forward Tanzania.
hapo lazima aongezee bidii akiamini utamnunulia helicopter kabisa..