Wakiwa wanamsubiri weita jamaa akamwuliza demu "unatumia whatsup"demu kwa maringo akaachia tabasamu kali akajibu " ndio natumia ila isiwe ya baridi sana"
Wakiwa wanamsubiri weita jamaa akamwuliza demu "unatumia whatsup"demu kwa maringo akaachia tabasamu kali akajibu " ndio natumia ila isiwe ya baridi sana"