Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,649
- 3,162
Habari wakuu
Kuna kibinti hapa kitaa nimekielewa sana
Sasa changamoto ni kuwa kikipata shida flani kinakuja kuniomba ila majuzi tuliweka promise kije home tuongee issue flani kikapotezea ingawa najua kashahisi nnachotaka kumwambia
Muda sio mrefu kapita hapa home wakiwa na rafiki yake nikiwa nafua kanipiga mzinga wa nauli Nimekapa Faru John
Mpaka sasa imefika karibu 8000/= yangu ila ni kama naona natoboka tu afu kanapotezea mchongo wangu
Je nifanye nini kukanasa maana huwa kananiheshim na huniita uncle na juzi kalipotezea mwito wangu kalinambia katakuja ikawa nehi ila muda huo huo nkawa nakaona tu kwao kamekaa kanapiga story na tudume dume twa hapa mtaani afu leo kamesahau kanajileta na shida zake.
Kukapanga tena eti kaje nahisi kama ntaonekana fala vile.
Kuna kibinti hapa kitaa nimekielewa sana
Sasa changamoto ni kuwa kikipata shida flani kinakuja kuniomba ila majuzi tuliweka promise kije home tuongee issue flani kikapotezea ingawa najua kashahisi nnachotaka kumwambia
Muda sio mrefu kapita hapa home wakiwa na rafiki yake nikiwa nafua kanipiga mzinga wa nauli Nimekapa Faru John
Mpaka sasa imefika karibu 8000/= yangu ila ni kama naona natoboka tu afu kanapotezea mchongo wangu
Je nifanye nini kukanasa maana huwa kananiheshim na huniita uncle na juzi kalipotezea mwito wangu kalinambia katakuja ikawa nehi ila muda huo huo nkawa nakaona tu kwao kamekaa kanapiga story na tudume dume twa hapa mtaani afu leo kamesahau kanajileta na shida zake.
Kukapanga tena eti kaje nahisi kama ntaonekana fala vile.