Scott junior
JF-Expert Member
- Mar 24, 2022
- 2,435
- 3,262
Maisha ili ufanikiwe unatakiwa uwe na stress ambazo zitafanya upambane sasa umekaa kwenye chumba cha 25k kwa siku ukiingiza 5k umeshamaliza na huna stress.
We panga ata nyumba Kwa 200k uone stress zitafanya upambane, uingize hela nyingi ulipe bills za vitu na utapambana ujenge fasta kuepukana na hizo gharama.
Ila wewe chumba 30k unazani utapambana kujenga haraka watu, hawajengi kwasababu kodi ndogo, watu wanajenga kwasababu Kodi kubwa .🫡
We panga ata nyumba Kwa 200k uone stress zitafanya upambane, uingize hela nyingi ulipe bills za vitu na utapambana ujenge fasta kuepukana na hizo gharama.
Ila wewe chumba 30k unazani utapambana kujenga haraka watu, hawajengi kwasababu kodi ndogo, watu wanajenga kwasababu Kodi kubwa .🫡