Unatafuta mfanyakazi wa aina hii?

Unatafuta mfanyakazi wa aina hii?

Nasakadoo

JF-Expert Member
Joined
Sep 18, 2014
Posts
343
Reaction score
169
REPOST:

Sina Elimu ya Juu saana, lakini naweza kufanya kazi mojawapo kati ya hizi:

√-Marketing
√-Project/Firm Managements(naweza kusimamia miradi mbali mbali kama Restaurant,Bar&Pub,Ranch,Duka la aina yoyote,n.k.)
√-Udreva (hapa nina leseni nilipata mwaka 2013 yenye daraja A,B,D&E). Naweza kuendesha magari ya mashirika,kampuni,mtu binafsi kama kumpeleka kazini na some occationals, e.t.c
√-Kuuza Duka,Stationary, n.k.

Nomba kama kwenye Kampuni/Asasi uliyopo wewe msomaji kuna kitengo mojawapo kati ya hivyo, please kuwa msaada kwangu! Sina kazi kwa sasa.

Unaweza kuwa wewe binafsi unatafuta mtu wa kukufanyia kazi kwenye mojawapo ya hizo kada au akawa jirani yako, ndugu, jamaa, n.k. Naomba unisaidie kupata kazi.

Ndugu, mimi naishi Dsm, maeneo ya Mbezi ya Kimara ,jinsia yangu ni Me miaka 26 sasa. Nipo tayari kufanya kazi eneo lolote, mkoa wowote muda wowote halali.

Nitashukuru saana kama nitafanikiwa kupitia wewe.

UBARIKIWE SAANA

+255 718 651 174
WhatsApp and Normal Calling&Sms
 
je unaweza ukawa unafanya hii wakati bado unatafuta kazi inayokufaha kutafuta abiria wa ndege yoyote iwe ya njee ya nchi na ndani ya nchi utalipwa kwa kila abiria utaye mleta na aka kata tiketi
 
je unaweza ukawa unafanya hii wakati bado unatafuta kazi inayokufaha kutafuta abiria wa ndege yoyote iwe ya njee ya nchi na ndani ya nchi utalipwa kwa kila abiria utaye mleta na aka kata tiketi

Nifafanunulie vizuri hapo...
 
Tunatafuta vijana sita kwa ajili
ya kuuza kusambaza kutoa ushauri wa
kitaalam katika masoko
vigezo:
1. wawili wawe na elimu ya diploma
katika kilimo na mifugo, 2.watatu wawe na diploma ya marketing,
3.mmoja awe na diploma ya business
managemant
4.Wanawake watapewa
kipaumbele zaidi
5.awe muaminifu Deadline: 10/8/2015 Tuma CV,nakala ya
vyeti na pasport moja.
kwenye email hii
(demafa88@gmail.com) watakao tuma
soft copy ya vyeti hawana haja ya
kutuma picha. Kumbuka kuweka mawasiliano yako
 
Back
Top Bottom