Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
kaka kwenye msg not sent hapo hata mini sielewi kwa nini wanalamba hela. lakini kwenye msg not derivered hapo sawa kwani si kosa lao, wao wamepeleka msg ila wa upande wa pili labda hayupo hewani, hivyo wa kumlaumu ni wa upande wa pili kwa nini hakuwasha
labda simu.
Hivi wewe ukipanda gari na unaenda kumsalimia rafiki yako,bahati mbaya ukakuta hayupo, je utadai urudishiwe nauli
kwa kuwa mwenyeji wako hayupo hivyo lengo lako halikukamilika? mi nadhani utadai nauli kama gari limeshindwa kutembea
(msg not sent) sio kwa sababu mwenyeji wako hayupo(msg not derivered)
kaka kwenye msg not sent hapo hata mini sielewi kwa nini wanalamba hela. lakini kwenye msg not derivered hapo sawa kwani si
kosa lao, wao wamepeleka msg ila wa upande wa pili labda hayupo hewani, hivyo wa kumlaumu ni wa upande wa pili kwa nini hakuwasha
labda simu. hivi wewe ukipanda gari na unaenda kumsalimia rafiki yako,bahati mbaya ukakuta hayupo, je utadai urudishiwe nauli
kwa kuwa mwenyeji wako hayupo hivyo lengo lako halikukamilika? mi nadhani utadai nauli kama gari limeshindwa kutembea
(msg not sent) sio kwa sababu mwenyeji wako hayupo(msg not derivered)
Nakumbuka Tigo mwaka 2004 ukituma msg hadi iwe delivered ndo unakatwa pesa. Sijui hii mambo waliipotezea lini?
Wizi mtupu..siku hizi wanakulazimisha ushiriki promotion za kitapeli eti etika wito namba flani, mara umechaguliwa sijui nini yani wezi Tcra mpaka ipigwe mkwara ndo inaamka
Wezi hawa jamaa,
Mi kila siku Voda wananidanganya eti "sishikiki" na kunikata Tshs 550/= kwa siku,
Nishatuma neno ondoa/toka/ cancel n.k. kwenda kwenye namba yao lakin wao wanaendelea tu na utapeli wao,
Nlichoamua sasa natuma "tusi" ili wajue sipendi wizi wao!!