Chuma Chakavu
JF-Expert Member
- Apr 16, 2011
- 1,523
- 653
kwanini tunapotuma message kwa kutumia simu za mkononi salio huwa linakatwa hata kama message yenyewe ikiwa 'not sent' au haijawa delivered? Je hii ni halali? Hapa haya makampuni ya simu yanakuwa yanatoza hela kwa huduma ipi waliyokupatia? Mtu unayemtumia anaweza akawa kazima simu au yuko out of coverage kwa muda mrefu na hivyo sms asiipate na simu inarudisha jibu kuwa 'message not sent' lakini salio linaliwa,why?
Hata ukituma msg kwenye namba ambayo haipo bado wanakuia salio,kwa nini? Lakini mbona unapopiga simu huwa salio linapunguzwa pale ambapo mtu wa upande wa pili atapokea simu! Na hata ukipiga namba ambayo haipo au haiko hewani, unajulishwa status ya namba uliyopiga bila kuliwa salio. Je huu si wizi unaofanywa na makampuni ya simu?
TCRA wanasemaje kuhusu suala hili?
Hata ukituma msg kwenye namba ambayo haipo bado wanakuia salio,kwa nini? Lakini mbona unapopiga simu huwa salio linapunguzwa pale ambapo mtu wa upande wa pili atapokea simu! Na hata ukipiga namba ambayo haipo au haiko hewani, unajulishwa status ya namba uliyopiga bila kuliwa salio. Je huu si wizi unaofanywa na makampuni ya simu?
TCRA wanasemaje kuhusu suala hili?