FrankLutazamba
JF-Expert Member
- Aug 9, 2018
- 449
- 408
Wataalamu wa Afya wamethibisha hakuna kesi ya maambukizi ya Ukimwi yaliyotokana na kulana denda hivyo denda ni salama
Asili ya denda ilianzia kwa Ndege mbalimbali kama njiwa,na kama tujuavyo njiwa hutumika na Malaika ktk mambo mbalimbali hivyo ndio maana hata Uingereza na baadhi ya nchi za Ulaya wamefugwa kwa maelfu
Ugundunzi mwingi unatokana na tafiti zilizofanywa kwa Ndege kama Ndege za abiria na kadhalika Hivyo hata ktk malavidavi waliiga kwa ndege kuanzia kinda anapolishwa hats njiwa wakiwa wakubwa.
Kuna kupeana uhai ktk denda ndio manager hata akizima unashauriwa umpe punzi kwa njia ya mdomo ila awe mwanaume kwa mwanamke na si jinsia moja
Upo ushahidi mkubwa kuwa tabia hunyonyana toka kwa kila mmoja na mambo mengine ya bahati upeana
Wazungu wanazingatia denda hata wasipofanya mapenzi
Waphilipino pia
Nb:kumbuka muungano wa Ulaya umeunganishwa tangu enzi za Wafalme walipokuwa wanaoa ufalme mmoja na mwingine mfano ufalme wa Ufaransa ulioa Uingereza,pia king Henry alioa Ufaransa vile vile Ureno mfalme wake alioa Uingereza japo mfalme wa Ureno alikuwa mzee hivyo alikimbiwa na make
Hii inaudibilmtisha kuna nguvu ktk mapenzi na denda
Instagram:kaukwaju
Asili ya denda ilianzia kwa Ndege mbalimbali kama njiwa,na kama tujuavyo njiwa hutumika na Malaika ktk mambo mbalimbali hivyo ndio maana hata Uingereza na baadhi ya nchi za Ulaya wamefugwa kwa maelfu
Ugundunzi mwingi unatokana na tafiti zilizofanywa kwa Ndege kama Ndege za abiria na kadhalika Hivyo hata ktk malavidavi waliiga kwa ndege kuanzia kinda anapolishwa hats njiwa wakiwa wakubwa.
Kuna kupeana uhai ktk denda ndio manager hata akizima unashauriwa umpe punzi kwa njia ya mdomo ila awe mwanaume kwa mwanamke na si jinsia moja
Upo ushahidi mkubwa kuwa tabia hunyonyana toka kwa kila mmoja na mambo mengine ya bahati upeana
Wazungu wanazingatia denda hata wasipofanya mapenzi
Waphilipino pia
Nb:kumbuka muungano wa Ulaya umeunganishwa tangu enzi za Wafalme walipokuwa wanaoa ufalme mmoja na mwingine mfano ufalme wa Ufaransa ulioa Uingereza,pia king Henry alioa Ufaransa vile vile Ureno mfalme wake alioa Uingereza japo mfalme wa Ureno alikuwa mzee hivyo alikimbiwa na make
Hii inaudibilmtisha kuna nguvu ktk mapenzi na denda
Instagram:kaukwaju