Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
<br />Wanzuki <br />
Dushelele<br />
machozi ya simba<br />
unegele<br />
choya
<br /><br /><br />
<br /><br />
Mkuu hiyo ya mwisho nimewahi kugida kule Dom vijijini pale maeneo ya Kikombo katikati ya miaka ya 2000. Ni Wine ya ukweli ati! Siku hizi inapatikana hata hapa Dar ikiwa kisasa zaidi ktk chupa. Pia maeneo hayo wana Udirinki kwa jina Scud (skadi) ni aina flani ya wanzuki, Dah!