Mwendabure
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,138
- 1,040
Wakuu!
Kwa wale wenzangu wanaopataga Udirinki kiasi!
Ukiwa maeneo ya kwenu au ugenini kule vijijini kabisa ambako Bia ni nadra au hakuna kabisa. Je, unapataka Udirinki ya kwenu?
Hapa sizungumzii kupata za kienyeji kwa sababu ya kukosa za kizungu, nazungumzia kudumisha mila na kuwa karibu na uwapendao. Au we ni kati ya wale ambao mmeshajiaminisha kuwa kutumia udirinki wa kienyeji ni ushamba?
Binafsi huwa napataga udirinki hapa nazungumzia...
Kibuku
Komoni
Ulaka
Chivaladya
Nchinjima
Miropo
Mdafu
Kangara
Repherephe
Vigongo
...............
...............
Bila kusahau NIPA kidogo!
Wewe je? Kuwa huru kama nilivyo huru ktk hili.
Karibu tunywe... nionjeshe na za huko kwenu.
Kwa wale wenzangu wanaopataga Udirinki kiasi!
Ukiwa maeneo ya kwenu au ugenini kule vijijini kabisa ambako Bia ni nadra au hakuna kabisa. Je, unapataka Udirinki ya kwenu?
Hapa sizungumzii kupata za kienyeji kwa sababu ya kukosa za kizungu, nazungumzia kudumisha mila na kuwa karibu na uwapendao. Au we ni kati ya wale ambao mmeshajiaminisha kuwa kutumia udirinki wa kienyeji ni ushamba?
Binafsi huwa napataga udirinki hapa nazungumzia...
Kibuku
Komoni
Ulaka
Chivaladya
Nchinjima
Miropo
Mdafu
Kangara
Repherephe
Vigongo
...............
...............
Bila kusahau NIPA kidogo!
Wewe je? Kuwa huru kama nilivyo huru ktk hili.
Karibu tunywe... nionjeshe na za huko kwenu.