Unaogopa nini

Umeandika ki rahisi sana ngoja ukakutane na UTI iliyonona!, ndo utajua kwanini walisema "chupi la kuazima halistiri manini!"..๐Ÿ˜‚
 
Hizo ni psychological manipulative tactic inaitwa empathy kama sijakosea.
Kabisa mkuu, mtu anataka aonewe huruma ili tu Moyo wake ufurahi.
Watu wanaopenda kuonewa huruma huwa hawaendelei kwa sababu Kila wakianguka wanatamani waonewe huruma.

Hii dunia haina huruma.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ