Dr leader
JF-Expert Member
- Jun 28, 2016
- 1,041
- 1,294
Unaogopa nini ?
Umemmiss mtu? - Mpigie simu.
Unataka kukutana na mtu? - Mualike.
Unataka kueleweka? - Jieleze.
Una maswali? - Uliza.
Hupendi kitu? - Sema.
Unapenda kitu? - Sema.
Hujaelewa kitu? Uliza.
Unampenda mtu? - Mwambie.
Tuna maisha mara moja tu. Yafanye kuwa rahisi.♥️
Umemmiss mtu? - Mpigie simu.
Unataka kukutana na mtu? - Mualike.
Unataka kueleweka? - Jieleze.
Una maswali? - Uliza.
Hupendi kitu? - Sema.
Unapenda kitu? - Sema.
Hujaelewa kitu? Uliza.
Unampenda mtu? - Mwambie.
Tuna maisha mara moja tu. Yafanye kuwa rahisi.♥️