Unanikatikia

Ahahahaah!he is copying from the original!
 
Sio tutauana,sema ataniua!teh teh teh!
 
Baba alishangaa mtoto aliporudi kutoka shuleni analia,akamwuliza kwanini unalia?mtoto:aah nimechapwa fimbo mbili,
ile h/work uliyonifanyia usiku kucha nimepata ziro,heri hata ningefanya mwenyewe.
Baba kabakia mh!
Hapo dingi alikaa kimya bila ku-comment chochote!
 
Juzi ulinikatikia ofisini,jana ulinikatikia nikiwa kitandani,usiku ukanikatikia tena,asubuhi ile navaa tu nguo ukanikatikia hapo hapo,
kwanini unakatika kila siku?dah huu umeme wa tanesco nimechoka nao.
haaaaaaaaaaaaaaaa nilifikiri ni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…