NDESSA JF-Expert Member Joined May 2, 2013 Posts 1,946 Reaction score 1,800 Apr 7, 2016 #2 Matumizi mabaya ya mboga za majani.
KWEZISHO JF-Expert Member Joined Jan 29, 2016 Posts 7,519 Reaction score 6,522 Apr 7, 2016 #3 Iwapo angetumia mabaki ya mbogamboga ingekuwa vema lakini anapotumia mbogamboga ambazo wengine wanazitafuta kama mlo na hawazipati hawezi kueleweka vema.
Iwapo angetumia mabaki ya mbogamboga ingekuwa vema lakini anapotumia mbogamboga ambazo wengine wanazitafuta kama mlo na hawazipati hawezi kueleweka vema.
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 6,056 Reaction score 7,519 Apr 7, 2016 #4 Naona Karoti imepambwa na Nyanya.......
Doto Dotto JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 4,038 Reaction score 3,034 Apr 7, 2016 #5 Waziri wa kilimo yuko wapi amtumbue?
Nyadundwe JF-Expert Member Joined Jan 16, 2008 Posts 232 Reaction score 289 Apr 8, 2016 #6 Akikutana na Mbuzi, kwisha habari yake!
mtebetini JF-Expert Member Joined Jul 5, 2015 Posts 1,924 Reaction score 2,036 Apr 8, 2016 #7 Kwa mila,desturi na utamaduni wa kiafrika haikubaliki kuchezea chakula hadharani namna hiyo.
uporo wa wali ndondo JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 3,454 Reaction score 2,242 Apr 8, 2016 #8 Huyu atakuwa ni mkenya tuuu..maana hamna namna.
M Mokoyo JF-Expert Member Joined Mar 2, 2010 Posts 15,145 Reaction score 5,573 Apr 8, 2016 #9 Food insecurity
Y ydn JF-Expert Member Joined Nov 24, 2015 Posts 2,092 Reaction score 1,410 Apr 8, 2016 #10 kizaizai said: Naona Karoti imepambwa na Nyanya....... Click to expand... Nimekusoma Mkuu!! Hahahaha
Y ydn JF-Expert Member Joined Nov 24, 2015 Posts 2,092 Reaction score 1,410 Apr 8, 2016 #11 Nampa 100, ukimaliza kula hizo mboga mboga then unahamia kwenye kile kitu.......!! hahaha
hazole1 JF-Expert Member Joined Jan 3, 2015 Posts 4,319 Reaction score 3,919 Apr 8, 2016 #12 Hugo dada inaonyesha mboga yake nzuri sana.
kani mkali Senior Member Joined Dec 18, 2013 Posts 121 Reaction score 64 Apr 8, 2016 #13 Kabla ya kula mboga kwanza unacheki chumvi pale uvinza,kisha unakula mboga yako taratibu..
fakalava JF-Expert Member Joined Jul 16, 2015 Posts 4,459 Reaction score 6,030 Apr 8, 2016 #14 uporo wa wali ndondo said: Huyu atakuwa ni mkenya tuuu..maana hamna namna. Click to expand... Hawezi kuwa Mkenya, wale wana shida sana ya chakula.
uporo wa wali ndondo said: Huyu atakuwa ni mkenya tuuu..maana hamna namna. Click to expand... Hawezi kuwa Mkenya, wale wana shida sana ya chakula.
uporo wa wali ndondo JF-Expert Member Joined Dec 3, 2013 Posts 3,454 Reaction score 2,242 Apr 8, 2016 #15 fakalava said: Hawezi kuwa Mkenya, wale wana shida sana ya chakula. Click to expand... Ata mimi naona anaweza hasiwe mkenya, lakini hawa jamaa kwa kupenda sifa wanaweza....
fakalava said: Hawezi kuwa Mkenya, wale wana shida sana ya chakula. Click to expand... Ata mimi naona anaweza hasiwe mkenya, lakini hawa jamaa kwa kupenda sifa wanaweza....
nsanzu JF-Expert Member Joined Jul 29, 2015 Posts 4,928 Reaction score 5,770 Apr 10, 2016 #16 Ngoja apite karibu ya mbuzi ndo ataelewa kwa nin mtu ukizingua unaitwa mbuzi