Unamkumbuka yule ex?

Nikaanza kugonganisha magari sasa hapo ndipo tulipo zinguana tuliachana kwa nguvu kubwa , japo tumepotezana lakini najua tunapendana bado
 
Pamoja na yote aliyojitahidi, still hukuona umuhimu wake by then.
 
Aise wacha kabisa kuna time unajikuta mwamba katika mapenzi kumbe unapotea njia bila kujua mpaka leo namkumbuka huyu
Ndivyo inavyokuwaga. Ila no way, ndio maisha haya.
 
Ndivyo inavyokuwaga. Ila no way, ndio maisha haya.
Ndio maana wazungu husema "" what goes around comes around"" nilikuja kumpata mtoto mzuri tulidumu nae mwaka mmoja tu, akaja kunipiga tukio la kufa mtu niliumia sana ila nikakumbuka namimi nilishamliza mtoto wa mtu.
 
Nimewakumbuka na wawili nimewarudisha kwenye himaya yangu
Basi hao hukuwaumiza. Kuna yule ambae maumiv anayokuachia, ikitokea yameisha hata arudi kwa magoti humuelewi tena
 
Ndio maana wazungu husema "" what goes around comes around"" nilikuja kumpata mtoto mzuri tulidumu nae mwaka mmoja tu, akaja kunipiga tukio la kufa mtu niliumia sana ila nikakumbuka namimi nilishamliza mtoto wa mtu.
Ni noma sana mkuu.
 
Poleee chief ulipoteza zaidi ya mke, uyo alikuwa zaidi ya mpenzi kwako
 
Poleee chief ulipoteza zaidi ya mke, uyo alikuwa zaidi ya mpenzi kwako
Ila cha ajabu, kipindi kile jamaa alikuwa haoni ilo. Kuna muda wanaume tunateleza sana.
 
Namkumbuka sanaa aisee nilimkataa bila sababu yaan nilijikuta tuu nimemchoka
 
Ni Msimu wa Vumbi na Mafua makali.

Wear Mask.

Sanitize often.

Practice Social Distancing.

It helps a lot!

Achana na viporojo vya jonijo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…