Kwenye IT hakuna cha sample... Cha muhimu ni kunipa kazi nikakutengenezea na ukaridhika nayo... Cha muhimu ni user requirement tu.....
kumbe hizi demo uwa ni za nini mkuu? unanifanya nikushuku uwezo wako wa ufanyaji wa kazi. Mkuu Stefano Mtangoo anataka kuona japo hata kazi yako moja ili tujiridhishe uwezo wako, sio lazima tusiwe sisi ila tukikukubali tunaweza kukurecommend kwa watu wengine, we wawapi wewe?Kwenye IT hakuna cha sample... Cha muhimu ni kunipa kazi nikakutengenezea na ukaridhika nayo... Cha muhimu ni user requirement tu.....
Hizo application natengenezea java language....... Demo nitaweka ....
Nyasiro umepata mpinzani huku