UNALIPIA BEI GANI? DEDICATED 512kbps TTCL!

Amoeba

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2009
Posts
3,288
Reaction score
793
Tujaribu kubadilishana uzoefu wakuu, kwa wale wanaotumia ISP ttcl,kwa huduma ya dedicated-specifically kwa speed ya 512mbps bei elekezi n ngapi? Pia itakuwa vizuri kama mtu mwenye habari za ndani kutoka ttcl atueleze utaratibu utumikao "kukokotoa" malipo ya huduma hizi (hasa kwa watumiaji wa kati na wadogo). Kama wewe pia n mteja wa TTCL, hasa dedicated, naomba tujuzane unanunua spidi ipi kwa bei gani, na unapata download speed ngapi!
Kuna kengere inalia kichwani!
Natanguliza shukrani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…