Hii game ilikuwa imewekwa kwenye computer, kama computer game ambapo mcheza draft upande moja anachezqa na computer upande wa pili , ukisogeza kete tu na computer inasogeza kete sasa kila ukifunga huyo dada wa pemebeni anafunua nguo kiasi fulani , ukiendelea kuishinda computer basi huyo dada anasaula ngua zote anabaki kama alivyozaliwa.